Mindblown: a blog about philosophy.
-
Tafakari ya kufikirisha 57/365-2025
Watu wanaweza kukushusha chini. Wanaweza kukuambia hauwezi kufanya kitu. Unaweza kujiambia Mwenyewe kwamba kwamba hauko vizuri pale unapokutana na fursa au changamoto. Usiamini kitu hicho. Wewe Mwenyewe ndio unaweza kujizuia. Kama unafikiria kupanda, utapanda. Kama unafikiria utaweza kutawala na utaweza by Dana Cavalea
-
Tafakari ya kufikirisha 56/365-2025
Unaweza kufanya, kama unaamini unaweza au kama hauamini unaweza kufanya, kwa njia mojawapo utakayoichagua uko sahihi by Dan Cavalea
-
Tafakari ya kufikirisha 51/365-2025
Kama una wazo lá kitu kikubwa ambacho ukikifanya kitafanya maisha yako kuwa bora, lakini watu wakakucheka, wakakuambia huwezi au haiwezekani, hivyo ni kiashiria kwamba wazo ni bora. Hivyo hakikisha unalitekeleza kama wengine, jijue na ishi maisha ya uhalisia wako by Jim Rogers
-
Tafakari ya kufikirisha 53/365-2025
Ukiwa unakerwa na jambo fulani siyo jambo Hilo linalokusumbua bali tafsiri kuhusu jambo Hilo ndio inayokusumbua by Marcus Aurelius
-
Tafakari ya kufikirisha 55/365-2025
Kila Mtu anazungumzia kuhusu heshima. Ninaamini kila Mtu anapaswa kufanyiwa kwa usawa, lakini siyo kila mtu anapaswa kupewa heshima sawa by Derek Jeter
-
Tafakari ya kufikirisha 54/365-2025
Ukiwa na machaguo ya kuchagua ya kuwa sahihi au kuwa mwema. Hakuna mbadala usichanganye wema na udhaifu by Kelvin Kelly
-
Tafakari ya kufikirisha 52/365-2025
Kwenye maisha kila kitu kinafanya kazi tofauti ni ufanyaji wa hicho kitu, chagua njia yeyote na fanyia kazi na utapata matokeo.
-
Tafakari ya kufikirisha 50/365-2025
Kuna tofauti ndogo kwa watu, lakini tofauti hii ndogo ndio inaleta tofauti kubwa. Tofauti hiyo ndogo ní Mtazamo. Na tofauti kubwa ní Mtazamo hasi au Mtazamo Chanya by W. Clement Stone
-
Tafakari ya kufikirisha 49/365-2025
Nini kushindwa? Hakuna kitu bali ni elimu ; hakuna kitu bali ni hatua ya kwanza kufanya kitu kwa ubora by Werdell Phillips
-
Tafakari ya kufikisha 48/365-2025
Kama bahati zetu zote zingewekwa kwenye chungu kimoja cha pamoja, ambapo kila Mtu akaambiwa achukue bahati sawa watu wengine zaidi watakuwa na furaha ya kuchukua bahati zao wenyewe na kuondoka by Anthony Pompliano
Got any book recommendations?