Mindblown: a blog about philosophy.

  • Tafakari ya kufikirisha 259/365

    Kila kitu ambacho kinaonekana sasa, kilianza kama wazo kwa Mtu, kisha wazo hili likajengewa taswira ya kitu kilichokamilika, Halafu Mtu akachukua hatua ya kukamilisha taswira hiyo. Ili uweze kupata matokeo makubwa, juhudi pekee hazitoshi, bali unahitaji kujiona tayari umeshafanikiwa kwenye akili yako nukuu na Napeleon Hill

  • Matatizo Mengi Madogo yanayotusumbua yapo chini ya Shilingi Milioni Moja

    Habari Rafiki utakubaliana na mimi kwenye jamii zetu ambayo inatuzunguka matatizo mengi ambayo yanatusumbua ni yale madogo ambayo yapo chini ya kiwango cha Shilingi Milioni Moja. Angalia watu ambao wanakuomba mara nyingi kiwango gani cha fedha ambacho wanakuwa wanakiomba utakuja kuona kwa kiasi kikubwa kiasi hicho kwenye mzunguko wa chini ya shilingi Milioni Moja. Fuatilia…

  • Tafakari ya kufikirisha 71/365-2025

    Ukianza kujishika na vitu, watu au fedha ndiyo unavuruga kila kitu Dhumuni la maisha níní kuthamini kila kitu na kutokujishika na chochote. Ukishaanza kusema hiki ní changu nastahili kuwa nacho wakati wote, iwe ní fedha, vitu au watu, ndipo mambo yanapokuwa magumu. Ukianza kusema ílí niwe na furaha lazima niwe na kitu fulani au Kiasi…

  • Tafakari ya kufikirisha 333/365

    Kama unataka kufanikiwa kwenye maisha lazima upende sana kile ambacho unakifanya.Lazima uwe tayari kukifanya kwa hamasa kubwa hata kama wengine hawafanyi hivyo. Na lazima uwe tayari kufanya hata kama wengine wanakukatisha tamaa, kukubeza nau kukucheka.

  • Tafakari ya kufikirisha 74/365-2025

    Ubora wa maisha unatokana na ubora wa akili yako, kile ambacho kinaingia kwenye akili yako ndiyo kinachotoka nukuu toka kwa Marcus Aurelius

  • Tafakari ya kufikirisha 70/365-2025

    Mambo yanabadilika, hata kama ní kidogokidogo Ní rahisi kuona mambo yapo vile vile kwa sababu mabadiliko yanatokea kidogokidogo sana. Lakini ukweli ní kwamba mambo yanabadilika, mambo hayapo kama yalivyokuwa mwanzo. Chochote unachojua kuhusu duniani leo, miaka kumi ijayo kitakuwa siyo sahihi, hivyo uelewa iliyokuwa nao kuhuis dunia miaka 10 iliyopita, sasa hivi siyo sahihi. Hivyo…

  • Tafakari ya kufikirisha 69/365-2025

    Huwa tunashiriki mchezo wa kulaumu, kwa kuangalia Mtu wa kumnyooshea kidole ambaye anahusika na kile ambacho kimetokea. Lakini kwenye kila tunacholaumu, tunajionyesha sisi zaidi kuliko hata wale tunaowalaumu. Tunapenda kuangalia wengine kwa sababu, ili kuthibitisha imani ambazo sisi tunazo juu ya wengine. Hivyo unapolaumu, jua shida siyo yule unayemlaumu, bali wewe unayelaumu ndiye mwenye shida,…

  • Tafakari ya kufikirisha 68/365-2025

    Pokea mambo kama yalivyo hiyo ndio kanuni ya Amani. Uhalisia wa Mtu huonekana pale anapokabiliana na magumu by Epictetus.

  • Tafakari ya kufikirisha 59/365-2025

    Sababu hazizalishi akili yeyote. Hata kama kuna kuna tabia haukuwahi kuijenga siyo kigezo cha kutoanza upya sasa. Ondoa vikwazo na anza kuchukua hatua kwani kitu unachofanya kila siku kidogokidogo kinaleta matokeo makubwa baada ya muda by Robin Sharma

  • Tafakari ya kufikirisha 58/365-2025

    Usiishi kama imebaki miaka elfu kumi. Hatima yako inaning’inia juu yako. Wakati wewe Bado unaishi, Wakati bado upo duniani, jitahidi kuwa mkubwa sana Mtu binafsi by Marcus Aurelius

Got any book recommendations?