Mafanikio na kufanya ni vitu ambavyo vinakwenda pamoja na haviwezi kutenganishwa. Tangu mtu anapoanza mpaka anafanikiwa, lazima awe anaendelea kufanya bila ukomo.Ni kupitia kufanya mtu anapiga hatua kubwa sana kuliko kupanga na kusema pekee. Unachotaka na uchofanya vinapaswa kwenda pamoja ili uweze kupiga hatua kubwa kwenye maisha yako.
Tafakari ya kufikirisha 27/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply