Tafakari ya kufikirisha 23/366-2024

Wakatishaii tamaa wengi wana nia njema sana na wewe. Wanapokukatisha tamaa usifanye kitu, sio kwamba wanaona wivu ukikipata utakuwa umewazidi, japo kuna wa aina hiyo, bali wanaona unachokwenda kufanya kitakuumiza sana. Hivyo wanavyokukatisha tamaa ni kama wanajaribu kukulinda ili usiingie kwenye matatizo makubwa.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *