Tafakari ya kufikirisha 333/365

Kama unataka kufanikiwa kwenye maisha lazima upende sana kile ambacho unakifanya.Lazima uwe tayari kukifanya kwa hamasa kubwa hata kama wengine hawafanyi hivyo. Na lazima uwe tayari kufanya hata kama wengine wanakukatisha tamaa, kukubeza nau kukucheka.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *