Watu wanaweza kukushusha chini. Wanaweza kukuambia hauwezi kufanya kitu. Unaweza kujiambia Mwenyewe kwamba kwamba hauko vizuri pale unapokutana na fursa au changamoto. Usiamini kitu hicho. Wewe Mwenyewe ndio unaweza kujizuia. Kama unafikiria kupanda, utapanda. Kama unafikiria utaweza kutawala na utaweza by Dana Cavalea
Tafakari ya kufikirisha 57/365-2025
by
Tags:
Leave a Reply