Tafakari ya kufikirisha 39/365-2025

Hakuna mtu ambaye anakufikiria wewe, usipoteze muda kubishana na watu ambao umekutana nao kwenye sehemu ya umma mfano mtu amekukanyaga kwenye daladala mkabishana baada ya hapo hata hakukumbuka by Anthony Pompliano


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *