Pale mtu unapopanga kufanikiwa na kupiga hatua zaidi kwenye maisha yako, ndipo vikwazo vya kila aina vinaibuka. Hii ni njia ya dunia kukupima kama kweli umejitoa kufanikiwa zaidi. Dunia inampisha yule ambaye anajua wapi anapokwenda, mtu ambaye hakati tamaa wala kurudishwa nyuma na magumu anayopitia by Ralph Waldo Emerson.
Tafakari ya kufikirisha 27/365-2025
by
Tags:
Leave a Reply