Tafakari ya kufikirisha 27/365-2025


Pale mtu unapopanga kufanikiwa na kupiga hatua zaidi kwenye maisha yako, ndipo vikwazo vya kila aina vinaibuka. Hii ni njia ya dunia kukupima kama kweli umejitoa kufanikiwa zaidi. Dunia inampisha yule ambaye anajua wapi anapokwenda, mtu ambaye hakati tamaa wala kurudishwa nyuma na magumu anayopitia by Ralph Waldo Emerson.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *