Kuna watu wanajifunza kutokana na makosa ambayo wamefanya watu wengine. Hawa ni watu wenye busara.Kuna watu wanafikiri kujifunza kwa kweli kunatokea kwa uzoefu wa mtu pekee. Watu kama hao wanavumilia maumivu ambayo siyo ya lazima na msongo kwenye maisha yao yote by Grant Cardone
Tafakari ya kufikirisha 313/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply