Kama mtu akicheka wazo lako, ni kiashiria kwamba ni wazo bora. Kama una wazo au kitu kikubwa ambacho, ukikifanya kitafanya maisha yako kuwa bora, lakini watu wakakucheka, wakakuambia huwezi au haiwezekani, hicho ni kiashiria kwamba wazo bora. Hivyo hakikisha unalitekeleza licha ya wengine kushindwa kuona ubora wake Nukuu toka kwa Jim Rogers
Tafakari ya kufirikisha 220/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply