Tafakari ya kufikirisha 218/366-2024

Watu wengi hujitoa sana pale wanapowasaidia wengine, lakini inapokuja kwao binafsi wanapuuza. Mifugo yako ikiumwa haraka utaitafutia matibabu na kuhakikisha inapata matibabu na kuhakikisha inapata matibabu, lakini wewe ukiumwa huhangaiki sana hata ukipewa dawa hutumii kwa umakini kama unavyoelekezwa.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *