Watu wengi hujitoa sana pale wanapowasaidia wengine, lakini inapokuja kwao binafsi wanapuuza. Mifugo yako ikiumwa haraka utaitafutia matibabu na kuhakikisha inapata matibabu na kuhakikisha inapata matibabu, lakini wewe ukiumwa huhangaiki sana hata ukipewa dawa hutumii kwa umakini kama unavyoelekezwa.
Tafakari ya kufikirisha 218/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply