Pale tunapoona kushindwa ni kitu ambacho kinaweza kutokea wakati tunapiga hatua, hakuna haja ya kuogopa ya kushindwa. Tunaweza kuangalia kushindwa kama sehemu nyingine ya kujaribu, na hali ambayo inaweza kuwa ina majibu kwenye mafanikio yanayokuja.
Tafakari ya kufikirisha 211/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply