Watu wengi hawaombi ushauri bali wanataka kusikia kile ambacho kipo ndani yao, ndio maana mtu anaweza kuja kuomba ushauri lakini hakakuambia kwamba umempa ushauri mbaya ni kwa sababu haujahalarisha kile ambacho anakitaka yeye unapoomba ushauri lazima uwe tayari kubadilika na siyo kutaka kuhalarisha kile unachokitaka wewe Mwanafalsafa Epictetus anatushikisha jambo hili.
Tafakari ya kufikirisha 210/306-2024
by
Tags:
Leave a Reply