Kama unataka kuboresha maisha yako na kuishi kwenye yale unayostahili, lazima ukimbie mbio zako mwenyewe. Haijalishi watu wengine watasemaje.Kitu muhimu ni kile unachojiambia mwenyewe, kujisikia huru ndani yako.Kuwa mkweli ndani yako. Hicho ndio chanzo kikuu cha Furaha.
Tafakari ya kufikirisha 208/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply