Moja ya sheria ya asili ni hii: Hatupati zaidi ya kile tunaweza kuhimili.Njia ya upendo ambayo imepangwa kwa ajili yako hauwezi kupata maarifa au ukweli zaidi ule ambao uko tayari kuupokea. Kwa hiyo chochote kile kinachokuja kwako pale ambapo upo tayari kukipokea. Mwanafunzi lazima awe mvumilivu. Muda ni kitu muhimu na majibu yatakuja
Tafakari ya kufikirisha 186/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply