Tafakari ya kufikirisha 183/366-2024

Mtu mwema ni yule anayefanya jambo sahihi, na kuendelea kufanya jambo jingine sahihi badala ya kutangaza kwamba amefanya jambo zuri. Kama ambavyo nyuki hawatangazi wametengeneza asali tamu,tunapaswa kufanya wema siyo kwa ajili ya kuonekana au kujitangaza,bali kwa sababu ndiyo maisha tuliyochagua kuishi.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *