Kila kitu tunachopitia kina mchango fulani kwa watu kwenye dunia, hivyo kwa kila unachopitia jua kitu hicho kina mchango kwenye dunia na hauna haja ya kusema kwa nini kinapitia kwako, hata kuumwa kwako au kufa kwako kuna mchango unatoa kwa watu wengine Mwanafalsafa Marcus Aurelius anatushirikisha jambo hili.
Tafakari ya kufikirisha 182/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply