Tafakari ya kufikirisha 182/366-2024

Kila kitu tunachopitia kina mchango fulani kwa watu kwenye dunia, hivyo kwa kila unachopitia jua kitu hicho kina mchango kwenye dunia na hauna haja ya kusema kwa nini kinapitia kwako, hata kuumwa kwako au kufa kwako kuna mchango unatoa kwa watu wengine Mwanafalsafa Marcus Aurelius anatushirikisha jambo hili.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *