Tafakari ya kufikirisha 159/366-2024

Hakuna makosa kwenye maisha,bali ni masomo. Hakuna kitu hicho kinachoitwa uzoefu hasi, bali ni fursa ya ukuaji,kujifunza na kusonga mbele kwenye safari ya ukomavu. Kutoka kwenye kupambana unapata ujasiri.Hata maumivu yanaweza kuwa Mwalimu bora.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *