Kama binadamu hali yetu ni kutaka kuyaambia maisha ni nini tunakitaka.Lakini maisha hayaendi kwa namna hiyo.Yanatupa sisi kile tunachokitaji,kile ambacho ni bora kwetu ambacho chenye maslahi mapana.Maisha yako yatafanya vizuri zaidi ukianza kuyasikiliza maisha kuyaacha yakuongoze kuliko kusukuma mto by Robin Sharma
Tafakari ya kufikirisha 158/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply