Tafakari ya kufikirisha 154/366-2024

Uchovu mkubwa ambao tunakabiliana nao kwa asili unatoka kwenye akili,uchovu hasa wa mwili ni kiasi kidogo hivyo mara zote hakikisha unatunza uchovu wa akili ili uweze kuwa Imara na kuweza kujifunza mara zote by J.A Hadifield


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *