Jifunze kuwa mnyenyekevu mara zote kwani hata usipokuwepo itaendelea kuwepo , hata usipokuwepo jua litaendelea kuchomoza Mashariki na kuzama Magharibi.Kwa chochote unachofanya jifunze kuwa mnyenyekevu zaidi na usijipe umuhimu ambao haupo kwa kuona usipokuwepo vitu havitaenda Mwanafalsafa Marcus Aurelius
Tafakari ya kufikirisha 153/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply