Elimu iliyokamilika ni pale kuna Mabadiliko, kama Elimu haifanyiwi kazi hiyo ni burudani.Kwa Maarifa mapya yoyote unayoyapata hakikisha unayafanyia kazi hasa kwa kiasi kidogo ama sivyo itakuwa burudani ,anza sasa kuyafanyia kazi maarifa yoyote utakayopata na utaona maana ya Elimu hiyo.
Tafakati ya kufikirisha 152/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply