Pale unapotafuta kosa kwa watu wengine tafuta kosa ambalo lipo ndani yako na yanafanywa na watu wengine,ukiona makosa yako mwenyewe hauwezi kukosoa watu wengine Mwanafalsafa Marcus Aurelius anatushirikisha jambo hili.
Tafakari ya kufikirisha 148/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply