Kadri ambavyo unaona kuna jambo liko juu ya uwezo wako na hauwezi kulitatua ndivyo ambavyo utazidi kujiona hauna thamani na utaendelea kukata tamaa. Usikubali kuendelea kutatizwa na jambo ambalo ukweli unaweza kupata msaada. Kuna mambo mengi unayofikiria hayana majiby lakini ukweli ni kuwa yana majibu kma ukiamua kutafuta msaada.
Tafakari ya kufikirisha 145/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply