Tafakari ya kufikirisha 140/366-2024

Kwenye jamii zetu, ujinga unaonekana kama ni kitu dhaifu. Ingawaje, wale ambao wanaonesha kwamba hawana ujuzi wa kitu na kufuata maelezo ya kujifunza ndio wanakuja kuona mafanikio zaidi ya wengine ambao wanajiona wanajua by Robin Sharma


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *