Mara zote kumbuka kubishana na kushinda ni kumkatisha tamaa ukweli wa kile mtu ambacho anakiamini yule ambaye unabishana nae.Inauma kupoteza kile unachokiamini,kwa hiyo kuwa mwema hata kama uko sahihi kwa kumuelimisha mtu kwamba upande wako siyo sahihi by Haraki Mwakani mfano ni vigumu kumuaminisha mshabiki ndakindaki kama timu yake ni mbovu”
Tafakari ya kufikirisha 134/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply