Tafakari ya kufikirisha 131/366-2024

Wafanyie watu vile ambavyo unapenda wewe kufanyiwa kama unapenda kutiwa Moyo, kukubalika, kusamehewa, kusikilizwa na kueleweka na wewe wafanyie watu kitu hicho pia by John Maxwell anatushirikisha kwenye kitabu cha Kuwa mtu wa watu,mfano kama mtu amepata tatizo fulani ndio maana unaambiwa ujiambie vile ambavyo umekuwa unawaambia watu hao pia kwenye tatizo kama hilo.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *