Tafakari ya kufikirisha 127/366-2024

127/366-2024 ” Ukweli wowote hauna umuhimu kulinganisha na mtazamo kuhusu hicho kitu, kwa kupitia mtazamo ndio unatambulisha mafanikio au kushindwa by Norman Vincent Pearle ,mfano hata kama unauza kitu kizuri kama mtu mtazamo wake ni bei kubwa mtazamo wako ndio utaamua zaidi kuliko ubora wa hicho kitu.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *