Tafakari ya kufikirisha 126/366-2024

Chochote ambacho tunakifikiria katika ubongo wetu na kuulisha ubongo wetu na kukirudiarudia na hisia kuna siku moja kitakuja kuwa kweli mfano hata matukio ambayo yanatokea kwenye jamii ukifuatilia mtu huyo alikuwa anatamka tamka jambo hilo siku moja analitekeleza kweli Mwandishi Earl Nightingale anatushirikisha jambo hilo.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *