Anzia pale ulipo, ukiwa na kitu tumia hicho kitu kufanya kitu kingine,baada ya hapo fanya kitu kingine zaidi.Ukiendelea kufanya Mara baada ya muda utaona umepata kitu zaidi. Ndio maana wahenga walituambia mwenda bure siyo sawa na mkaa bure.
Tafakari ya kufikirisha 116/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply