Tafakari ya kufikirisha

Ukishapata ushindi kila mtu atakusifia na kusema una akili nyingi.Kila mtu atapenda kujifunza kwako.Lakini kabla ya ushindi,utaonekana huna lolote.Hivyo basi, usiache mpaka umepata ushindi unaotaka kuupata, hata kama hakuna anayekuelewa.Endelea kuvumilia na kupambana, ushindi utakaoupata utafuta yote unayopitia sasa.Ukiweza kuziba masikio yako na kuweka juhudi mpaka upate ushindi, utaweza kufanya makubwa sana nukuu toka Dr. Makirita Amani

Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *