Tafakari ya kufikirisha 110/366-2024

Lazima tuwe na uwiano kati ya familia na marafiki,nyumbani na kazi ,tunachoingiza na tunachotumia, hata sukari kwenye miili yetu vyote kinachozidi au kupungua kina madhara.Vitu mojawapo ya vitu vigumu kuweka kwenye maisha ni hivi hapa chini:

– Hisia na Utashi

– Mahusiano na kujitoa

– Upole na Uimara

Ni Vitu ambavyo havifundishwi darasani Shiv Khera anatufundisha kwenye kitabu chake cha You Can Achieve More


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *