Utajiri ukipotea hakuna kitu kilichopotea.Afya ikipotea kuna kitu kimepotea .Pale ambapo tabia inapotea kila kitu kinapotea. Huu ni mmoja wa msemo wa kale ambao bado unaishi ambao unatukumbusha kuchukua hatua zaidi kwenye maisha yetu kujali afya na tabia zetu kama msingi wa kuinuka na kutengeneza utajiri hata tukiupoteza.
Tafakari ya kufikirisha 102/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply