Mipaka ambayo tumejiwekea wenyewe ndio inayotuzuia.Siyo kitu cha cha kushangaza kuona rekodi nyingi zinawekwa na watu ambao wanaonekana ni wajinga ambao hawajajiwekea mipaka mfano watu maarufu kama Albert Eisten alikuwa na changamoto ya afya ambayo ilijulikana kama dyslexic ambayo inakuwa inampa changamoto kwenye kusoma na kuandika lakini bado hakukata tamaa na kufanya uvumbuzi mkubwa duniani.
Tafakari ya kufikirisha 101/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply