Kama unataka kumkopesha mtu yeyote kwenye maisha, mkopeshe fedha zako, lakini usimkopeshe jina lako, kwa nini ni kwa sababu fedha ni rahisi kurudisha lakini jina ni kazi kubwa kurudisha likipotea.Mara zote tambua thamani binafsi kuliko thamani Mwandishi Shiv Khera anatushirikisha kwenye kitabu cha unaweza kufanikiwa zaidi jambo hili.
Tafakari ya kufikirisha 100/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply