Uwekezaji ni kitu chepesi kwa sababu inatutaka sisi tuweke pembeni kiasi fulani cha fedha au muda ili kitu kiweze kukua au kutokea.Lakini Uwekezaji ni kitu kigumu kwa sababu kinapingana na mahitaji ya asili ya Mwanadamu ya kutumia, kufurahi na kujiridhisha mahitaji haraka iwezekanavyo mwandishi Vinod Pottayil anatushirikisha jambo hili kwenye kitabu chake cha uwekezaji.
Tafakari ya kufikirisha 98/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply