Wakati tukiumwa tunawatafuta madaktari bora wenye upekee, wakati wa kujenga tunawatafuta mafundi bora wenye upekee, wakati wa machafuko watafutwa askari hodari wenye upekee kuongeza. Kitu gani kinawafanya kuwa wa kipekee, ni mtazamo.Mtazamo ni bora kuliko ujuzi,kiwango cha taaluma, mwonekano, ulipozaliwa,mtandao na vitu vinavyoendana na hivyo Mwandishi Shiv Khera anatushirikisha jambo hili kwa kina.
Tafakari ya kufikirisha 93/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply