Tafakari ya kufikirisha 89/366-2024

Sisi ni zao la kile ambacho tunakirudiarudia kufanya.Ubora siyo kufanya bali ni kurudiarudia.Tabia zetu zina madhara makubwa kwenye kufikia yale ambayo tunayaratajia kuyafikia kwa kiasi kikubwa yanatuonesha sisi ni akina nani mwasafalsafa Aristotle anatushirikirisha jambo hili kuweza kuweza kujua tabia ni zao la kutenda na kurudiarudia kufanya vitu.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *