Tafakari ya kufikirisha 87/366-2024

Kitu kinachotuumiza siyo kile kilichotokea bali ni mwitikio wetu kwenye kile kitu kilichotokea.Vitu vinaweza kukuumiza kimwili au kiuchumi na kukupa huzuni. Lakini tabia zetu ndio msingi mkuu hazitakiwi kuumizwa kamwe. Ni ukweli kwamba nyakati ngumu zinaweza kutulazimisha kutengeneza nguvu ambayo iko ndani yetu ili kukabiliana na mambo magumu kwa baadae na kuwapa hamasa watu wengine kufanya hivyo pia wakipitia hali kama hizo ambazo umepitia.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *