Kuna vitu vingi ambavyo vinaweza kupita mbele ya macho yako, lakini kuna vichache ambavyo vinaweza kugusa moyo wako. Vile ambavyo vitakugusa ndio unavyopaswa kuchukua hatua kuvifanya kwa sababu hatua zinachangiwa na hisia Mwandishi John Maxwell ameiongelea kwa kina kwenye kitabu chake chake Kipaji Pekee hakitoshi.
Tafakari ya kufikirisha 76/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply