Tafakari ya kufikirisha 62/366-2024

Kama unataka kufanikiwa unatakiwa kuweka umakini kwenye vile vitu ambavyo unaweza kuvifanya kuliko vile ambavyo hauwezi kuvifanya,changamoto kubwa imeanzia kwenye jamii ,wazazi na shule mfano mzazi anaweza kumlaumu mtoto kwa masomo aliyoshindwa badala ya kumuongezea nguvu na pongezi kwa yale ambayo ana uwezo mkubwa ndani yake ili aweze kuwa bora zaidi. Kwenye vile ambavyo unavijua unatakiwa kuweka nguvu zaidi kwenye vitu hivyo ili kuweza kupiga hatua zaidi.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *