Tafakari ya kufikirisha 61/366-2024

Kuna tofauti kati ya hamasa na kujitoa. Ukiwa na hamasa ya kufanya kitu unafanya kwa kadri unavyoona inafaa. Ukiwa umejitoa kufanya kitu,unakubali kufanya bila kutoa sababu yoyote unachowaza wewe ni matokeo tu, hivyo kwenye kufanya kitu kujitoa ni kitu kikubwa sana kwenye kufikia mafanikio makubwa mara zote.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *