Ushindi tunaoutaka kwenye maisha siyo kama mbio ambapo mmoja akishinda wengine wote hamna tena nafasi ya kushinda kwenye mbio hizo mlizoshiriki kwa wakati huu. Ushindi wetu kwenye maisha ni mbio nyingi ambazo kila mmoja wetu anajua anakimbia kuelekea wapi. Katika mbio hizi nyingi ndio kila mmoja wetu anaweza kushindana na uwezo wake na utofauti wake
Tafakari ya kufikirisha 52/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply