Kadri ambavyo unaona jambo liko just ya uwezo wake na hauwezi kulitatua ndivyo ambavyo utazidi kujiona hauna thamani na utaendelea kukata tamaa. Usikubal kuendelea kutatizwa na jambo ambalo ukweli unaweza kupata msaada. Kuna mambo me mengi unayofikiria hayana majibu lakini ukweli ni kuwa yana majibu kama ukiamua kutafuna majibu.
Tafakari ya kufikirisha 51/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply