Matatizo mengi ambayo yanatukabili hayatokani na kutokujua nini cha kufanya bali yanatokana na kutokufanya kile ambacho tunakijua, ni nani asije ukifanya mazoezi unajenga mwili na kuongeaza kinga ya mwili, nani asiyejua ulevi na uvutaji wa sigara una madhara lakini ndio vitu ambavyo vinafanywa kwa kiasi kikubwa.
Tafakari ya kufikirisha 36/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply