Usiminye ndoto zako zifanane na uhalisia wa sasa, kama unaona una kitu kikubwa unaweza kukifikia au una jambo kubwa unaweza kulifanya zaidi ya mazingira yanayokuzunguka wewe endelea kuweka msimamo usiache hiyo ndoto yako kwa kuangalia mazingira au watu kwa kuangalia hali ya sasa . Baada ya muda kitu hicho kitakuja kufanya kazi by Jim Kwik
Tafakari ya kufikirisha 317/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply