Tafakari ya kufikirisha 313/366-2024

Kuna watu wanajifunza kutokana na makosa ambayo wamefanya watu wengine. Hawa ni watu wenye busara.Kuna watu wanafikiri kujifunza kwa kweli kunatokea kwa uzoefu wa mtu pekee. Watu kama hao wanavumilia maumivu ambayo siyo ya lazima na msongo kwenye maisha yao yote by Grant Cardone


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *