Tafakari ya 324/366-2024

Kama wewe ni mtu bora zaidi katika chumba ulipo, upo kwenye chumba ambacho si sahihi,Achana na hao watu na nenda kajifunze kwa watu bora zaidi kuliko wewe. Hata kama unajiona uko bora tafuta watu bora zaidi ambao watapingana na wewe by Kelvin Kelly


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *