Watu waliofikia mafanikio makubwa wanalenga nguvu zao kwenye lengo moja na wakishalitimiza wanaenda kwenye lengo lingine. Sheria ya kwanza ya mafanikio ni uwezo wa kupeleka nguvu zako za kimwili na kiakili kwenye tatizo moja bila ya kuchoka nukuu hii ya Thomas Edson inatupa nguvu ya kuchukua hatua zaidi.
311/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply