Kila mtu anaweza kukosoa, kila mtu anaweza kutoa maoni yake namna gani mambo yanaweza kwenda vizuri, lakini kila mtu kuna kitu ambacho hafanyi kwa usahihi kwenye maisha yako. Kabla hujapoteza muda wako kuhukumu au kukosoa wengine, hebu kwanza angalia maisha yako badala ya kukosoa wengine.
Tafakari ya kufikirisha 213/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply